SIRA YA MTUME(SAW)

SOMO LA TANO –01 MUHAMMAD; MTUME WA MWISHO-Rehema na Amani zimshukie-Na uhusiano/mafungamano ya ujumbe (da’awa) wake na jumbe za mbinguni zilizo tangulia.

“SIRA YA MTUME WA ALLAH; FALSAFA NA MAFUNDISHO YAKE” Mpendwa msomaji wetu-Allah akurehemu-ni juma jingine tena, kwa auni na uwezeshi wake Mola, tumekutana katika darsa zetu za Sira yake Bwana…

MAKALA ZA FAMILIA YA KIISLAMU

SOMO LA NNE-POSA

“KUTENGENEA KWA FAMILIA YAKO, NDIO KUTENGENEA KWA JAMII NA TAIFA LAKO” Sifa zote njema zimuendee Mola Mlezi wetu kwa Hidaya zake za wazi na zilizo fichikana azitoazo wakati wote. Na…

QIYAMA

SOMO LA KUMI NA NANE-05

“MANDHARI NA MUONEKANO WA WATENDA MAASI SIKU YA KIYAMA” Kuhimidiwa na kutukuzwa kunamstahikia Allah; Mola Mlezi wa viumbe wote, ambaye ndiye aliye muambia Mtume wake: “Na waonye siku inayo kurubia,…

FIQHI NA SHARIA

SURA YA PILI-SOMO LA KWANZA-SWALA

i) FAIDA/AINISHO/MAANA NA SWALA Kabla hatujaingia moja kwa moja kuielezea swala na uchambuzi, ni vema kwanza tukajiuliza swala ni nini, ili tutakapokuwa tunalitaja neno swala, tujue na kuelewa tunazungumzia kitu/jambo…