"Mwenyezi Mungu akimtakia kheri Mja humfahamisha (humpa elimu) kwenye dini" Hadith Tukufu
KARIBU KATIKA MTANDAO WA UISLAMU
- Details
- Category: Karibu
- Published on Thursday, 20 February 2014 17:47
- Written by Super User
- Hits: 1174
"Soma kwa jina la Mola wako Mlezi aliye umba, Amemuumba binaadamu kwa tone la damu, Soma! Na Mola wako Mlezi ni Karimu kushinda wote! Ambaye amefundisha kwa kalamu. Kamfundisha mtu aliyo kuwa hayajui...." 96:1-5